Psalms 88:1

Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

(Wimbo. Zaburi Ya Wana Wa Kora. Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Mahalathi Leanothi. Utenzi Wa Hemani Mwezrahi)


1 aEe Bwana, Mungu uniokoaye,
nimelia mbele zako usiku na mchana.
Copyright information for SwhKC